PUNGUZO LA BIMA KWA 5%
Je, umewahi kujiuliza utapata wapi punguzo la Gharama za Bima za Gari lao??
Umefika mahali sahihi.
Tunatoa punguzo la 5% kwa wateja wetu wa BIMA. Zifuatazo ni sifa ili upate hilo punguzo:
- Ni lazima Gari yako ukatie BIMA KUBWA.
- Ni lazima Gari yako iwe imefungwa Kifaa cha Kufuatilia Gari (GPS Car Tracking device).
Bima Kubwa ya Gari (Comprehensive) itakukinga dhidi ya:
- Uharibifu wa gari kutokana na majanga ya barabarani
- Moto
- Wizi wa Gari
- Mafuriko, Kimbunga, Dhoruba, n.k.
- Na majanga yote yanayofidiwa na Bima ndogo.
MAHITAJI ILI KUPATA BIMA KUBWA
- Kadi ya Gari
- Kitambulisho halali (NIDA, Leseni ya Udereva, n.k)
- Thamani ya Gari (KWA BIMA KUBWA)
- Picha za gari kwa wakati huo (KWA BIMA KUBWA), tutakuja kupiga picha.
- Tutumie kupitia whatsapp +255754233717 na ndani ya DK 3 baada ya kufanya malipo kupitia MPESA, TIGO PESA, direct banking (sim banking) n.k.
- Tutakutumia documents zoote ndani ya DK 4.
0 comments:
Post a Comment