Kata Bima ya Gari kabla ya kutoka Bandarini
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania ina watangazia Wamiliki na Watoaji magari Bandarini kuwa kuanzia tarehe 16 Agosti 2021.
Ukaguzi wa
Bima kwa vyombo vya Moto (Magari) bandarini utaanza rasmi.
Hivyo, hakikisha
umekata Bima ya Gari (magari) kabla ya kutoka getini.
Tangazo hilo
juu, lilitolewa na Kamishna wa Bima Tanzania mnamo tarehe 11 Agosti 2021.
Nakala kwa Mkurugenzi wa Bandari Tanzania na Raisi wa TAFFA.
Bima ya Gari Tanzania
IKIWA UPO BANDARINI AU POPOTE PALE TANZANIA NA UNAHITAJI BIMA HALAL WASILIANA NA SISI TUTAKUHUDUMIA MASAA 24 SIKU SABA ZA WIKI;
+ 255 754 233 717
+ 255 715 233 717
+ 255 784 233 717
IKIWA WEWE NI DALALI WA MAGARI AU MMILIKI WA SHOW ROOM/YARD YA MAGARI WASILIANA NA SISI KWA HUDUMA BORA ZA BIMA TANZANIA.
Tii Sheria Bila Shuruti, Epuka Usumbufu
0 comments:
Post a Comment